134. Bwana nasikia kwamba

1 Bwana nasikia kwamba
umebariki wengi,
nami nakuomba sasa:
Nibariki na mimi!
Na mimi na mimi
Nibariki na mimi.

2 Nipitie Baba yangu,
kweli mimi mkosaji,
Baba uingie kwangu,
nirehemu na mimi!
Na mimi na mimi
Nirehemu na mimi.

3 Nipite, nakuomba,
Bwana Yesu Mwokozi,
wakosaji wawaita,
uniite na mimi!
Na mimi na mimi
Uniite na mimi.

4 Nipitie Roh mwema
kweli mimi sioni,
mwenye nguvu za kuonya,
nipe nguvu na mimi!
Na mimi na mimi
Nipe nguvu na mimi.

5 Nipite Baba yangu,
nakuomba kwa bidii,
umebariki wengine,
ni bariki na mimi!
Na mimi na mimi
Nibariki na mimi.

Text Information
First Line: Bwana nasikia kwamba
Title: Bwana nasikia kwamba
Author: E. Cordner (1800)
Language: English
Publication Date: 1988
Topic: Yesu anawapa wanfunzi wake Roho Mtakatifu
Notes: Sauti: Even me by Bradbury, 1816-1868, Sacred Songs and Solos #485, Augustana Hymnal #407
Tune Information
(No tune information)



Suggestions or corrections? Contact us