Appears in 1 hymnal Lyrics: 1 Bwana amefufuka, Haleluya
Tuimbe na malaika, Haleluya.
Sifa zetu na shangwe, Haleluya.
Na zao zisitengwe, Haleluya.
2 Ukombozi timamu, Haleluya.
Umetimu kwa damu, Haleluya
Mshindi asifiwe, Haleluya.
Yu hai kwa milele, Haleluya.
3 Jiwe, lindo, muhuri, Haleluya.
Vi wapi? na kaburi? Haleluya
Kifo hakimuweki, Haleluya.
Ametoka peponi, Haleluya.
4 Yu hai Mtukufu, Haleluya.
Cha kifo hatuhofu! Haleluya.
Alitufia sisi, Haleluya.
Tuwe huru na sisi. Haleluya.
5 Kichwa chatangulia, Haleluya.
Tupae, nasi pia! Haleluya.
Kwa kuwa tuna fungu, Haleluya.
Mti, kaburi, mbingu, Haleluya.
6 Mdiwe Mwokozi wetu, Haleluya.
Sifa ni yako Yesu, Haleluya.
Utukuzwe pekee, Haleluya.
Ni Wewe Ufufuo, Haleluya. Text Sources: Maneno kutoka Kilatini Karne ya 14
Bwana Amefufuka, Haleluya