Amekuja Mwokozi

Amekuja Mwokozi

Published in 1 hymnal

Representative Text

1 Amekuja Mwokozi
Amekuja Mwokozi,
Ufalme wa juu karibu
Amekuja Mwokozi
Ufalme wa juu karibu
Amekuja Mwokozi.

2 Geukeni mioyo
Geukeni mioyo,
Watatupwa wenye kiburi
Geukeni mioyo
Watatupwa wenye kiburi
Geukeni mioyo.

3 Shoka lipo shinani
Shoka lipo shinani,
Mti usiozaa wakatwa.
Shoka lipo shinani
Mti usiozaa wakatwa.
Shoka lipo shinani.

4 Ana ungo mkononi
Ana ungo mkononi,
Ngano yqke kuipepeta
Ana ungo mkononi
Ngano yqke kuipepeta
Ana ungo mkononi.

5 Yatachomwa makapi,
Yatachomwa makapi,
Ngano itawekwa chanjani
Yatachomwa makapi
Ngano itawekwa chanjani
Yatachomwa makapi.

6 Nabatiza kwa maji
Nabatiza kwa maji
Yeye hubatiza kwa Roho.
Nabatiza kwa maji
Yeye hubatiza kwa Roho.
Nabatiza kwa maji.

7 Mbele yake sifai
Mbele yake sifai,
Yeye hubatiza kwa Roho.
Nabatiza kwa maji
Yeye hubatiza kwa Roho.
Nabatiza kwa maji.

8 Elekea mbinguni
Elekea mbinguni,
Kristo katafanyia nija,
Ya kwendea mbinguni
Kristo katafanyia nija,
Ya kwendea mbinguni



Source: Mwimbieni Bwana: msifuni Mungu, mfalme wa mbingu na nchi! #8

Text Information

First Line: Amekuja Mwokozi
Source: Bena hymn
Language: Swahili
Notes: English translation: See "Christ the Savior has appeared" by Howard S. Olson
Copyright: Public Domain

Instances

Instances (1 - 1 of 1)
TextPage Scan

Mwimbieni Bwana #8

Suggestions or corrections? Contact us