Wachunga Wakesha

Representative Text

1 Wachunga wakesha
Kulina Kondoo
Karibu na mji wa Bethlhem ya Yda,
Malaika wa Mungu
Malaika wa Mungu akaleta habari;
Wachunga wakesah
Kulinda Kondoo
Karibu na mji wa Bethlehem ya Yuda,
Malaika wa Mungu
Malaida wa Mungu akaleta habri.

2 Mtoto kazakliwa
Kristo Mkombozi
Ndiye Mwana wa Mungu amelazwa horini,
Nendeni Bethlehem
Nendeni Bethlehem huko mtamwona;
Mtoto kazakliwa
Kristo Mkombozi
Ndiye Mwana wa Mungu amelazwa horini,
Nendeni Bethlehem
Nendeni Bethlehem huko mtamwona.

3 'Ni ajubu kuu"
Twende tukamwone
Kule tumeambiwa na malaika wa Mungu,
Mwokozi tumwone
Mwokozi tumwone "Ni ajabu kuu;"
'Ni ajubu kuu"
Twende tukamwone
Kule tumeambiwa na malaika wa Mungu,
Mwokozi tumwone
Mwokozi tumwone "Ni ajabu kuu."

4 Walipoingia
Pale kwenye zizi
Ndipo walipomwona amelazwa horini,
Wakam'abudu
Wakam'abudu wakipiga magoti;
Walipoingia
Pale kwenye zizi
Ndipo walipomwona amelazwa horini,
Wakam'abudu
Wakam'abudu wakipiga magoti.

5 Walimwengu wate
Njoni tumwabudu
Kwa myoyo ya furaha tumwabudu Mwokozi,
Njoni tumwabudu
Njoni tumwabudu Yesu amezaliwa;
Walimwengu wate
Njoni tumwabudu
Kwa myoyo ya furaha tumwabudu Mwokozi,
Njoni tumwabudu
Njoni tumwabudu Yesu amezaliwa.



Source: Nyimbo Za Imani Yetu #69

Translator: David Makathimo

(no biographical information available about David Makathimo.) Go to person page >

Text Information

First Line: Wachunga wakesha
Title: Wachunga Wakesha
Translator: David Makathimo
Language: Swahili
Copyright: Public Domain

Timeline

Instances

Instances (1 - 2 of 2)

Nyimbo za Imani Yetu #69

TextPage Scan

Nyimbo Za Imani Yetu #69

Suggestions or corrections? Contact us